2024-02-24T15:16:00+00:00
KANDANDA Yanga kucheza mechi ya maamuzi leo ikiivaa CR Belouizdad
Timu hiyo ili kujiweka katika nafasi ya kutinga robo fainali haina budi kuibuka na ushindi
2024-02-24T15:16:00+00:00
Timu hiyo ili kujiweka katika nafasi ya kutinga robo fainali haina budi kuibuka na ushindi
2024-02-22T19:02:00+00:00
Ni kuelekea mechi ya Jumamosi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
2024-02-19T17:32:00+00:00
Yaupa jina la Pacome Day mchezo huo ambao utapigwa Jumamosi Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam
2024-02-19T14:14:00+00:00
Kocha huyo wa Yanga ametoa kauli hiyo baada ya kuiongoza timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya KMC
2024-02-17T17:49:00+00:00
Ni baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 mbele ya KMC na kufikisha alama 43
2024-02-16T11:43:00+00:00
Kauli hiyo ameitoa kocha huyo wa Yanga wakati wakijiandaa kuumana na KMC Jumamosi
2024-02-12T14:33:00+00:00
Nyota huyo alichelewa kujiunga na timu yake ya Yanga akitokea katika michuano ya AFCON alipokuwa akiitumikia Burkina Faso
2024-02-09T18:36:00+00:00
Kauli hiyo imekujaa baada ya kuiongoza timu hiyo kushinda mechi mbili na sare moja
2024-02-06T20:36:00+00:00
Ushirikiano huo utawanufaisha viongozi, wachezaji pamoja na wanachama wa klabu hiyo katika kupata huduma mbalimbali
2024-02-05T15:00:00+00:00
Itafanya sherehe hiyo Jumapili ikiwa ugenini kuumana na Prisons katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu