![Yanga SC yajichimbia kileleni Ligi Kuu](https://sportal365images.com/process/smp-images-production/ringier.africa/17022024/08ff4798-dd47-4bf6-b886-f9eafda63145.jpg?operations=fit(359:))
2024-02-17T17:49:00+00:00
KANDANDA Yanga SC yajichimbia kileleni Ligi Kuu
Ni baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 mbele ya KMC na kufikisha alama 43
2024-02-17T17:49:00+00:00
Ni baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 mbele ya KMC na kufikisha alama 43
2024-02-16T11:43:00+00:00
Kauli hiyo ameitoa kocha huyo wa Yanga wakati wakijiandaa kuumana na KMC Jumamosi
2024-02-12T14:33:00+00:00
Nyota huyo alichelewa kujiunga na timu yake ya Yanga akitokea katika michuano ya AFCON alipokuwa akiitumikia Burkina Faso
2024-02-09T18:36:00+00:00
Kauli hiyo imekujaa baada ya kuiongoza timu hiyo kushinda mechi mbili na sare moja
2024-02-06T20:36:00+00:00
Ushirikiano huo utawanufaisha viongozi, wachezaji pamoja na wanachama wa klabu hiyo katika kupata huduma mbalimbali
2024-02-05T15:00:00+00:00
Itafanya sherehe hiyo Jumapili ikiwa ugenini kuumana na Prisons katika mchezo mwingine wa Ligi Kuu
2024-01-31T17:19:00+00:00
Ni yule nyota wa kimataifa wa Ivory Coast aliyesajiliwa akitokea Tuzlaspor ya Uturuki akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba wake
2024-01-20T14:57:00+00:00
Kama ombi lao litakubaliwa, Yanga itaanza kujipima na Dar City ya Ligi Daraja la Kwanza
2024-01-15T18:23:00+00:00
Winga huyo ameachwa ili kutoa nafasi kwa winga mwingine Mghana, Augustine Okrah kupata nafasi ndani ya timu hiyo
2024-01-13T20:22:00+00:00
Straika huyo ambaye alisajiliwa kutoka Mbeya Kwanza, ameshindwa kuendana na kasi ya timu hiyo