)
2024-02-06T19:30:00+00:00
KANDANDA Simba SC yaipiga 4G Tabora United Ligi Kuu
Huo ni ushindi wa pili mfululizo kwa timu hiyo na kuifanya ijikite katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 29 ikitanguliwa na Azam FC na Yanga SC
2024-02-06T19:30:00+00:00
Huo ni ushindi wa pili mfululizo kwa timu hiyo na kuifanya ijikite katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 29 ikitanguliwa na Azam FC na Yanga SC
2024-02-03T19:04:00+00:00
Ushindi huo umewaifanya kuwasogelea wapinzani wao timu za Yanga na Azam waliopo nafasi mbili za juu
2024-01-29T20:20:00+00:00
Ni baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuzipangia kucheza mechi saba
2024-01-22T15:00:00+00:00
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya klabu hiyo kufanya Mkutano Mkuu wa kila mwaka ambapo baadhi ya wanachama walionesha kutofurahia usajili wa sasa
2024-01-06T20:00:00+00:00
Huyo ni mchezaji wa pili kusajiliwa na Simba katika dirisha hili dogo linaloendelea
2024-01-06T08:33:00+00:00
Hatua hiyo itaanza kuchezwa Jumapili na Jumatatu kwa kupigwa mechi mbili kwa siku
2024-01-02T17:25:00+00:00
Kocha huyo alijiunga na Simba Oktoba, mwaka jana kuchukua mikoba ya Mbrazil, Roberto Oliviera 'Robertinho, hivyo hajapata muda mwingi wa kuiona timu yake
2023-12-26T16:06:00+00:00
Nyota hao wa timu ya Simba SC walisimamishwa tangu Desemba 21 na hadi sasa hakuna kikao kilichofanyika kujadili hatma yao
2023-12-24T11:04:00+00:00
Kocha huyo wa Simba hajaridhishwa na timu yake inavyocheza tangu alipokabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo
2023-12-23T19:00:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya Simba SC kubali katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 23