)
2023-11-10T17:33:00+00:00
KANDANDA Cadena kutumia siku 14 kuisuka upya Simba
Mapumziko yanayokuja mwezi huu yatakuwa na maana kwa Simba, kwani wachezaji watapumzika kwa siku tano na kisha kurejea kambini kwa ajili ya maandalizi
2023-11-10T17:33:00+00:00
Mapumziko yanayokuja mwezi huu yatakuwa na maana kwa Simba, kwani wachezaji watapumzika kwa siku tano na kisha kurejea kambini kwa ajili ya maandalizi
2023-11-07T13:49:00+00:00
Simba SC retains Kenyan physio and team manager amidst coaching staff overhaul following a significant loss in the Tanzanian derby.
2023-11-07T13:08:00+00:00
Fei Toto amerudishwa kikosi baada ya kuonesha kiwango bora tangu kuanza kwa msimu huu akifunga mabao manne na asisti zaidi ya mbili katika mechi nane za Ligi Kuu Tanzania Bara.
2023-11-07T12:48:00+00:00
Simba imefikia hatua hiyo ikiwa zimepita siku mbili tangu wafungwe mabao 5-1 na watani zao wa jadi, Yanga katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara
2023-11-06T07:31:00+00:00
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-05T19:00:00+00:00
Ushindi huo, unaifanya Yanga kulipa kisasi cha miaka 10 iliyopita kwani mwaka 2013 nao walifungwa mabao 5-0 na Simba
2023-11-04T15:33:00+00:00
Sina presha yoyote tumejiandaa kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine, kikubwa kesho ni kujiepusha na makosa kwani makosa madogo yanaweza kuamua mechi
2023-11-04T14:33:00+00:00
Mimi ni raia wa Brazil ni nchi ya mpira, binafsi napenda kucheza mechi kubwa na kwa siku ya kesho nimekiandaa kikosi changu kwa ajili ya kucheza mchezo dhidi ya Yanga.
2023-11-04T08:35:00+00:00
Hiyo inakuwa ni tuzo ya pili kwa Azizi Ki ndani ya wiki hii ambapo hivi karibuni alishinda tuzo ya mchezaji bora ndani ya Yanga.
2023-10-30T12:07:00+00:00
Robertinho amesema mchezo wa 'derby' siku zote huwa ni mgumu na ndio maana anahitaji muda kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake ili kufanya vizuri kwenye mchezo huo.