)
2023-12-01T08:11:00+00:00
KANDANDA Al Ahly yatua Dar kuivaa Yanga SC michuano ya Afrika
Ni kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa Jumamosi.
2023-12-01T08:11:00+00:00
Ni kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa Jumamosi.
2023-11-30T18:42:00+00:00
Simba faces a crucial clash against Jwaneng Galaxy this Saturday as the CAF Champions League heats up.
2023-11-30T08:36:00+00:00
Amekutana na wachezaji wake kwa mara ya kwanza tangu apewe majukumu ya kuinoa timu hiyo kwa mkataba wa miaka 2
2023-11-28T18:54:00+00:00
Ana uzoefu wa kufundisha soka la Afrika kwa miaka 20, akipita katika timu za Raja Casablanca, Club Africain, timu ya Taifa ya Algeria, RS Berkane na CR Belouizdad.
2023-11-27T20:08:00+00:00
Timu hiyo imecheza mechi tatu mfululizo bila ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
2023-11-25T18:18:00+00:00
Huo ni mchezo wa kwanza wa Kundi B wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika
2023-11-22T15:04:00+00:00
Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam ambapo kama kawaida wametoa jezi za aina tatu yaani nyekundi, nyeupe na ya bluu
2023-11-13T20:30:00+00:00
Simba waliachana kwa amani na Robertinho siku chache tu baada ya kupokea kipigo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika Novemba 5.
2023-11-13T10:45:00+00:00
Ilikuwa ni miongoni mwa timu nane ambazo zilishiriki michuano hiyo iliyofanyika kwa mara ya kwanza Afrika na uzinduzi wake ulifana katika ardhi ya Tanzania.
2023-11-12T11:18:00+00:00
Yanga fans unite for a historic celebration, feasting on victory after their recent win over Simba.