)
2023-10-28T21:00:00+00:00
KANDANDA Baleke, Phiri waing'arisha Simba SC wakiichapa Ihefu FC 2-1
Ushindi huo, umeifanya Simba kufikisha alama 18 sawa na vinara Yanga ila zinatofautiana kwa mabao na kuifanya ibaki nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo.