2023-12-24T11:04:00+00:00
KANDANDA Benchikha kuifumua, kuisuka upya Simba SC
Kocha huyo wa Simba hajaridhishwa na timu yake inavyocheza tangu alipokabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo
2023-12-24T11:04:00+00:00
Kocha huyo wa Simba hajaridhishwa na timu yake inavyocheza tangu alipokabidhiwa jukumu la kuiongoza timu hiyo
2023-12-23T19:00:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya Simba SC kubali katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 23
2023-12-22T14:35:00+00:00
Timu hizo zitaumana kesho katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara
2023-12-19T17:42:00+00:00
Ushindi huo, umefufua matumaini ya timu hiyo katika kuwania nafasi ya kucheza robo fainali ya michuano hiyo
2023-12-16T13:11:00+00:00
Hiyo huenda ikasaidia kupunguza malalamiko yanayokuwa yakitolewa kwa waamuzi wakidaiwa kushindwa kutafsiri sheria 17 za soka
2023-12-15T04:30:00+00:00
Timu hiyo hadi sasa inashika mkia Kundi B la michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na alama 2
2023-12-13T10:00:00+00:00
Inaingia kambini ikitoka kufungwa bao 1-0 na Wydad Casablanca katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
2023-12-11T19:49:00+00:00
Kocha huyo wa Simba amesikitishwa na wachezaji wake kutofunga mabao mengi katika michuano ya kimataifa
2023-12-11T15:38:00+00:00
Michuano hiyo hufanyika kila mwaka ikiwa ni katika shamrashamra za kusherehekea mapinduzi ya uhuru wa visiwa hivyo
2023-12-02T17:35:00+00:00
Timu hiyo imebanwa mbavu kwa kupata alama moja ugenini, ikiwa ni sare ya pili mfululizo katika michuano hiyo