2024-02-07T19:33:00+00:00
KANDANDA Kocha Simba SC aipiga mkwara Azam FC
Timu hizo zinatarajia kuumana Ijumaa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na Kati katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza
2024-02-07T19:33:00+00:00
Timu hizo zinatarajia kuumana Ijumaa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na Kati katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza
2024-02-06T19:30:00+00:00
Huo ni ushindi wa pili mfululizo kwa timu hiyo na kuifanya ijikite katika nafasi ya tatu ikiwa na alama 29 ikitanguliwa na Azam FC na Yanga SC
2024-02-06T10:20:00+00:00
Tanzanian clubs Simba and Yanga are among the teams that have significantly contributed top talent to the 2023 Africa Cup of Nations
2024-02-03T19:04:00+00:00
Ushindi huo umewaifanya kuwasogelea wapinzani wao timu za Yanga na Azam waliopo nafasi mbili za juu
2024-01-29T20:20:00+00:00
Ni baada ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuzipangia kucheza mechi saba
2024-01-22T15:00:00+00:00
Kauli hiyo imekuja siku moja baada ya klabu hiyo kufanya Mkutano Mkuu wa kila mwaka ambapo baadhi ya wanachama walionesha kutofurahia usajili wa sasa
2024-01-15T14:44:00+00:00
Huyo anakuwa ni mchezaji wa tatu kusajiliwa na timu hiyo chini ya kocha, Abdelhak Benchikha katika dirisha dogo la usajili litakalofungwa leo saa 6 usiku
2024-01-10T18:07:00+00:00
Nyota hao ni wale walioshindwa kufanya vizuri ndani ya Klabu hiyo tangu wasajiliwe na pia walipewa nafasi ya kucheza Mapinduzi Cup
2024-01-06T20:00:00+00:00
Huyo ni mchezaji wa pili kusajiliwa na Simba katika dirisha hili dogo linaloendelea
2023-12-26T16:06:00+00:00
Nyota hao wa timu ya Simba SC walisimamishwa tangu Desemba 21 na hadi sasa hakuna kikao kilichofanyika kujadili hatma yao