2023-11-07T16:30:00+00:00
KANDANDA Gamondi: Tumechoka ila Coastal Union ijiandae
Hatukuwa na aina ya maandalizi ambayo tuliyataka, tumetoka kucheza mchezo mgumu dhidi ya Simba kisha tumesafiri kuja Tanga
2023-11-07T16:30:00+00:00
Hatukuwa na aina ya maandalizi ambayo tuliyataka, tumetoka kucheza mchezo mgumu dhidi ya Simba kisha tumesafiri kuja Tanga
2023-11-07T13:08:00+00:00
Fei Toto amerudishwa kikosi baada ya kuonesha kiwango bora tangu kuanza kwa msimu huu akifunga mabao manne na asisti zaidi ya mbili katika mechi nane za Ligi Kuu Tanzania Bara.
2023-11-06T07:31:00+00:00
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-05T19:00:00+00:00
Ushindi huo, unaifanya Yanga kulipa kisasi cha miaka 10 iliyopita kwani mwaka 2013 nao walifungwa mabao 5-0 na Simba
2023-11-04T15:33:00+00:00
Sina presha yoyote tumejiandaa kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine, kikubwa kesho ni kujiepusha na makosa kwani makosa madogo yanaweza kuamua mechi
2023-11-04T08:35:00+00:00
Hiyo inakuwa ni tuzo ya pili kwa Azizi Ki ndani ya wiki hii ambapo hivi karibuni alishinda tuzo ya mchezaji bora ndani ya Yanga.
2023-10-30T12:07:00+00:00
Robertinho amesema mchezo wa 'derby' siku zote huwa ni mgumu na ndio maana anahitaji muda kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake ili kufanya vizuri kwenye mchezo huo.
2023-10-28T20:09:00+00:00
Aziz KI ameingia kuwania tuzo hiyo akiwa ametoka kufunga mabao matatu 'Hat trick' dhidi ya Azam huku Nzengeli akiwa ametoka kufunga mabao mawili dhidi ya Singida Fountain Gate.
2023-10-26T13:00:00+00:00
GSM's sponsorship of Gor Mahia raises hopes, but will it match the millions offered to Yanga in their five-year kit deal?
2023-10-23T21:00:00+00:00
Singida FG wanajiandaa na mechi hiyo huku wakiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi wa 3-2 kwenye mchezo wao uliopita waliocheza ugenini dhidi ya Namungo.