2023-12-16T13:11:00+00:00
KANDANDA CAF kufunga 'VAR' Ligi Kuu ya Tanzania
Hiyo huenda ikasaidia kupunguza malalamiko yanayokuwa yakitolewa kwa waamuzi wakidaiwa kushindwa kutafsiri sheria 17 za soka
2023-12-16T13:11:00+00:00
Hiyo huenda ikasaidia kupunguza malalamiko yanayokuwa yakitolewa kwa waamuzi wakidaiwa kushindwa kutafsiri sheria 17 za soka
2023-12-16T08:15:00+00:00
Kocha huyo wa Yanga ametoa kauli hiyo baada ya wachambuzi wa soka nchini Tanzania kushauri awe anabadili kikosi chake
2023-12-13T14:34:00+00:00
Timu hiyo ilipewa siku 45 na FIFA kulipa deni la kiungo wao wa zamani, Gael Bigirimana ambaye walimvunjia mkataba bila kumpa stahiki zake
2023-12-12T19:37:00+00:00
Huo ni utaratibu ambao umekuwa ukifanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa sh. milioni 5 kwa kila bao litakalofungwa na timu hizo kimataifa
2023-12-11T19:12:00+00:00
Itaingia katika mchezo huo ikiwa katika nafasi ya pili kwa alama 24 nyuma ya Azam FC ambayo inaongoza kwa alama 25 lakini ipo mbele kwa michezo miwili
2023-12-11T15:38:00+00:00
Michuano hiyo hufanyika kila mwaka ikiwa ni katika shamrashamra za kusherehekea mapinduzi ya uhuru wa visiwa hivyo
2023-12-09T15:36:00+00:00
Kocha huyo wa Yanga anadai mwamuzi huyo kutoka Libya hakuwa anatoa maamuzi sahihi
2023-12-08T10:13:00+00:00
Timu hiyo umepanda kileleni mwa msimamo wa Ligi ya Tanzania Bara baada ya kuifunga KMC mabao 5-0
2023-12-05T15:37:00+00:00
Nyota huyo amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea Asec Mimosa ya Ivory Coast
2023-11-28T09:00:00+00:00
Huo umekuwa ni utaratibu wa Yanga msimu huu katika mechi za kimataifa kutoka na mchezaji maalumu ambaye anaibeba siku husika.