2024-02-09T09:04:00+00:00
KANDANDA Simba SC, Azam FC ni mechi ya kisasi leo CCM Kirumba
Ni timu ambazo zimekuwa zikifanya vizuri katika Ligi Kuu Bara, hivyo mchezo huo utavuta hisia za mashabiki wengi
2024-02-09T09:04:00+00:00
Ni timu ambazo zimekuwa zikifanya vizuri katika Ligi Kuu Bara, hivyo mchezo huo utavuta hisia za mashabiki wengi
2024-02-07T19:33:00+00:00
Timu hizo zinatarajia kuumana Ijumaa kuanzia saa 10 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na Kati katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza
2024-01-30T15:30:00+00:00
Nyota hao walikuwa majeruhi kwa muda mrefu na kukosa baadhi ya mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Mapinduzi Cup
2024-01-27T19:31:00+00:00
Hiyo ilikuwa mechi ya kirafiki ambayo beki mpya wa Azam, Mcolombia, Yeison Fuentes, alipata nafasi ya kucheza
2024-01-23T19:16:00+00:00
Ni wachezaji wawili wa kimataifa kutoka Colombia na mwingine ni kutoka Sudani Kusini
2024-01-09T15:32:00+00:00
Timu hiyo ni msimu wake wa pili mfululizo inatolewa na Singida Fountain Gate katika michuano hiyo.
2024-01-06T08:33:00+00:00
Hatua hiyo itaanza kuchezwa Jumapili na Jumatatu kwa kupigwa mechi mbili kwa siku
2024-01-02T19:40:00+00:00
Imetinga hatua hiyo baada ya kujikisanyia alama 7 katika michuano hiyo ndani ya michezo mitatu
2023-12-31T07:28:00+00:00
Ushindi huo umeifanya Azam kukakaa kileleni ikiwa na alama nne katika Kundi A
2023-12-28T18:17:00+00:00
Mchezo huo ulikuwa ni wa kwanza katika michuano ya msimu huu ambapo timu hizo zimegawana pointi